Duration 1:52

Full Wema Sepetu ameungana na viongozi wa CHADEMA mahakamani Leo - 23.02.2017

6 501 watched
0
8
Published 23 Feb 2017

Mvutano mkali wa kisheria umeibuka baina ya mawakili wa serikali na mawakili mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo - Chadema Freeman Mbowe katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa katika mahakama kuu na mwenyekiti huyo wa chadema dhidi ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda na wenzake wawili.

Category

Show more

Comments - 0