Duration 6:46

WIZI WA MAZAO WASABABISHA KUKATWA MIKONO TUNGUU

5 820 watched
0
25
Published 26 Jun 2021

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote. #HabariZaUhakika #Zinjibartv Follow Zinjibartv Facebook | Zinjibartv INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online Wasiliana nasi kupitia number +255 773 878 523 +255 773 071 409 Zinjibartv Journalists cc: Abdallah Pandu cc: Safia Hussein cc: Maryam Kidiko cc: Swaleh Watamaama Camera Department" Muarabu Mmadi Ali Rajab Rajab ahmada Editors: Ali Hassira Mohammed Abeid Ramla Haji Abdillahi Said Dereva Yussuf Khanmis Ali Mohammed Video Zingine: Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE - HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA /watch/I-0qPiHzwZBzq /watch/AGn4b51VuC_V4

Category

Show more

Comments - 30
  • @
    @khamisjuma50463 years ago Nduguzagu wa zanzibar salam zangu kutoka usa marekani masela amkeni raia hawatupendi chukua meli kamamimi.
  • @
    @fatmasalim82933 years ago Lahaula walakuwat ilabilah mtihani wallahi vijana fanyeni kazi.
  • @
    @yasalaam5903 years ago Safiy hiyo ndiyo sheriya ya. Ungu ila mkushawakata mikono muwrke na mafuta ya moto mukishamkata tu msimuache kutoka damu nyingi lazma mumuekee mafuta ya moto inshasllah.
  • @
    @iddyramathan45073 years ago Kweli mama wakatwe mikono tu kuliko kuwachoma moto ili kila alipite afahamike. 1
  • @
    @hilalkhalfan14523 years ago Ukipeleka mwizi polisi na pesa za kuwapa polisi unataarisha. Sasa bora tumalizane kwa bure tu. 1
  • @
    @bas28233 years ago Sasa mkiibiwa nazi tuu mnalalamika je? Wale mliowadhulumu mali na mashamba yao je? Ya allaallah ya raab.
  • @
    @hilalkhalfan14523 years ago Wizi unaleta ufukara katika nchi. Yaani kama kila mtu anao uwezo wa kufuga kuku wa kienyeji (koko) au wanyama akiibiwa mmoja waliobakia hawafugi tena na . ...Expand
  • @
    @yasalaam5903 years ago Nkweli wezi wanakera na wanarejesha nyuma maendeleo.
  • @
    @salmaelhinai8333 years ago Na kubaliana na nyie hali ni mbaya na inasikitisha katika wizi wa mazao na pemba pia vitendo hivyo vimeshamiri.
  • @
    @yasalaam5903 years ago Tena anapewa ugali wa bure jela ndiyo mana wanafanya hivyo ili warejeshwe tena jela wakale bure.
  • @
    @mwanaishazain79853 years ago Mbona hueleweki sema kwa ufasaha. Hata sijui unasema ninibona hivi. Bora kidogo huyu wa pili.
  • @
    @bas28233 years ago Je? Hao waligawiwa heka za mashamba ya watu na wakayakubali je? Wahukumiwe vipi? Watu hao? Kukubali mashamba yasio. Kuwa yao wala sio ya serikali hiyo . ...Expand
  • @
    @aliabdalla92973 years ago Akatwe mkono wa kwanza aendelee akatwe wa pili aendelee akatwe wa tatu.
  • @
    @pira74393 years ago Wapigwe mikwaju kweli mpk awe hoi bin taaban, wasikatwe mikono wala kuuliwa, ana kupekekwa polisi haina faida.
  • @
    @ammaryassir86623 years ago Kama hawataki kuacha wachomwe moto tuu hio ndio dawa yao tuone wasiachee.