@zawadichalale40473 years agoPamoja na madhaifu yako ila kwa upande wngu nimejifunza kitu kikubwa sana nitamheshimu mume wangu sana. 3
@
@alexjohnanania3 years agoJimmy(mtangazaji) you soo wise. Ndani yako kuna hekima ndani yako. 2
@
@maglansangenoi3 years agoMtangazaji kwa kweli big up sana kwako. Una maswali mazuri la utulivu mzuri sana kwenye kipindi. Nafurahishwa sana na namna unavyomudu kipindi chako.
@
@theresiakapinga52383 years agoUliyemchokoza kaja! Kupitia maisha yako ipo shule.
@
@bosslilyg43903 years agoHuyu kaka anaonekana mtata sana, mke wake ana shida kwakweli. 2
@
@maxjofrey82983 years agoKiukweli brother jimmy nimejifunza mengi sana kwako na nnahamini naweza kujifunz zaidi brother yani unaongea point sana brother.
@
@joycemashikolo90963 years agoHilo swari la utata! Moja kwa moja tu huyu kaka ongea yake tu ni mtata mkubwa sn. Ni zaidi ya. 1
@
@peaceisrael81583 years agoMtangazaji hapa umeonyesha busara ya hali ya juu sana. Mungu akubariki sana. Huyu mke ana moyo pia. Cant imaginetabia za ajabu @wanawaake wa bibilia nonsense.
@
@browrinah93573 years agoUkweli unauma ndo maana brother jimmy utmwona kama vitu anavyo ongea haeleweki au nimkali. 1
@
@frednzunda80403 years agoInawezekana nimechelewa kujibu ila nimejifunza kitu kikubwa kwenu watumishi. moyo mzuri ni ule usioficha au tunza mabaya ingawa ukiwa na moyo huu utaonekana vingine maana haki siku zote huonekana kama udikiteta. 1
@
@zaburi23863 years agoHyu jama jimmy mafufu anajua kujieleza ni kipaji kikubwa.
@
@dastankalinga4423 years agoSikujua kabisa mafufu kaokoka? Kweli mungu ni wa maajabu.
@
@apostleoscarnyakungachuma35103 years agoVyangudoa ahahaha asante! Tuponee.
@
@dismassiragoye73713 years agoNi kweli tatizo ni kutokuwa na akinamama wa biblia.
@
@lizzybahati98333 years agoKama mwanaume anamaneno ya jeuri je acheni kuwaonea wanawake bwana.
@
@alamnyopo97393 years agoJimmy mafufu huyo mwanamke unayemtaka hayupo dunian. Labda umuumbe wa kwako. 3
@
@neemajohn58113 years agoUpendo au hesabu mabaya, upendo uvumilia, hakuna mwanank utakae nae mdogo wangu, nina miaka 26 ya ndoa, na kumbuka mwanake nae ana moyo wa maumivu, hujamuumba wewe, bado una safar ndefu kama hutobadili, 1
@
@alexjohnanania3 years agoJimmy, huyu jimmy mwenzako anaongea ukweli. Naomba sanaana asili ya ukweli. Hana unafiki ndani yake.
Related videos for Sio Vizuri Kuingilia Mambo Ya Watu, Ila Huyu Mama Amejikosea Mwenyewe Jimmy Mafufu.:
moyo mzuri ni ule usioficha au tunza mabaya ingawa ukiwa na moyo huu utaonekana vingine maana haki siku zote huonekana kama udikiteta. 1
asante! Tuponee.