Mkuu wa mkoa wa mpya wa Njombe Eng,Marwa Mwita Rubirya aliyeteuliwa na kuapishwa hivi karibuni na Rais John Pombe Magufuli , amewasili kituo cha kazi na kuzungumza na baadhi ya watumishi wa mkoa na wilaya ya Njombe ambapo amesema atafanya ziara katika wilaya zote nne za mkoa wa Njombe huku akiomba ushirikiano kwa viongozi wa wilaya hizo.
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for VIDEO: KAULI YA KWANZA YA RC MPYA WA NJOMBE BAADA YA KUWASILI: